
Hayo yalibainishwa katika mkutano wa kimataifa wa sita wa kujadili namna ya kuboresha zaidi huduma za simu na fedha kwa njia ya mtandao, ulioandaliwa na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).
Akifungua mkutano huo Dar es Salaam leo, Gavana wa BoT, Profesa Benno Ndulu, amesema tangu kuanza kwa matumizi ya huduma za simu na fedha kwa njia ya mtandao mwaka 2008, Tanzania imepiga hatua kubwa katika eneo hilo.
Kwa habari zaidi soma Habarileo Septemba 20.
CHANZO: http://www.habarileo.co.tz/
No comments:
Post a Comment